Psalms 104:5-10


5 aAmeiweka dunia kwenye misingi yake,
haiwezi kamwe kuondoshwa.

6 bUliifunika kwa kilindi kama kwa vazi,
maji yalisimama juu ya milima.

7 cLakini kwa kukemea kwako maji yalikimbia,
kwa sauti ya radi yako yakatoroka,

8 dyakapanda milima, yakateremka mabondeni,
hadi mahali pale ulipoyakusudia.

9 eUliyawekea mpaka ambao hayawezi kuuvuka,
kamwe hayataifunika dunia tena.


10 fHuzifanya chemchemi zimwage maji mabondeni,
hutiririka kati ya milima.
Copyright information for SwhKC